Menu
Call Center
0800750089

0800750089
Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Maendeleo Bank PLC Mr. Lomnyaki Saitabau ameanza kazi rasmi leo baada ya utambulisho rasmi uliotolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Maendeleo Bank PLC Prof. Ulingeta Obadia Mbamba.
Katika tukio hilo la kihistoria, Mr.Lomnyaki Saitabau alipata fursa ya kuzungumza moja kwa moja na wafanyakazi wa Maendeleo Bank,akiwashukuru kwa ukaribisho wao na kuahidi kushirikiana nao kwa bidii ili kuendeleza mafanikio ya benki yetu.

Katika hotuba yake, CPA Peter Tarimo aliishukuru timu ya Maendeleo Bank PLC kwa ushirikiano wa kipekee wakati wa uongozi wake wa muda na kumtakia Mr.Lomnyaki Saitabau kila la heri katika safari yake ya kuongoza benki yetu kuelekea mafanikio makubwa zaidi.
